بِسْمِاللّٰهِالرَّحْمٰنِالرَّحِيْمِ
Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu
يٰٓاَيُّهَاالنَّبِيُّاتَّقِاللّٰهَوَلَاتُطِعِالْكٰفِرِيْنَوَالْمُنٰفِقِيْنَاِنَّاللّٰهَكَانَعَلِيْمًاحَكِيْمًا١
Ewe Nabii! Mche Mwenyezi Mungu wala usiwat'ii makafiri na wanaafiki. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye hikima. [1]
وَّاتَّبِعْمَايُوْحٰىٓاِلَيْكَمِنْرَّبِّكَاِنَّاللّٰهَكَانَبِمَاتَعْمَلُوْنَخَبِيْرًا٢
Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari ya mnayo yatenda. [2]
وَّتَوَكَّلْعَلَىاللّٰهِوَكَفٰىبِاللّٰهِوَكِيْلًا٣
Na mtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni wa kutegemewa. [3]