QS. Al-Ahzab [33]

Vikosi Vilivyojumuishwa

بِسْمِاللّٰهِالرَّحْمٰنِالرَّحِيْمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu

وَّاتَّبِعْمَايُوْحٰىٓاِلَيْكَمِنْرَّبِّكَاِنَّاللّٰهَكَانَبِمَاتَعْمَلُوْنَخَبِيْرًا٢

Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari ya mnayo yatenda. [2]

وَّتَوَكَّلْعَلَىاللّٰهِوَكَفٰىبِاللّٰهِوَكِيْلًا٣

Na mtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni wa kutegemewa. [3]

Shiriki via WhatsappShiriki via FacebookShiriki via Twitter