QS. Al-Ahzab [33:2]

Vikosi Vilivyojumuishwa

وَّاتَّبِعْمَايُوْحٰىٓاِلَيْكَمِنْرَّبِّكَاِنَّاللّٰهَكَانَبِمَاتَعْمَلُوْنَخَبِيْرًا٢

wattabi' maa yuuhaa ilayka min rabbika inna allaaha kaana bimaa ta'maluuna khabiiraan

Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari ya mnayo yatenda. [2]

— Ali Muhsin Al-Barwani

Shiriki via WhatsappShiriki via FacebookShiriki via Twitter