QS. Al-Ahzab [33:33]

Vikosi Vilivyojumuishwa

وَقَرْنَفِيْبُيُوْتِكُنَّوَلَاتَبَرَّجْنَتَبَرُّجَالْجَاهِلِيَّةِالْاُوْلٰىوَاَقِمْنَالصَّلٰوةَوَاٰتِيْنَالزَّكٰوةَوَاَطِعْنَاللّٰهَوَرَسُوْلَهٗاِنَّمَايُرِيْدُاللّٰهُلِيُذْهِبَعَنْكُمُالرِّجْسَاَهْلَالْبَيْتِوَيُطَهِّرَكُمْتَطْهِيْرًا٣٣

waqarna fii buyuutikunna walaa tabarrajna tabarruja aljaahiliyyati al‑uulaa wa‑aqimna alshshalaata wa‑aatiina alzzakaata wa‑athi'na allaaha warasuulahu innamaa yuriidu allaahu liyudzhiba 'ankumu alrrijsa ahla albayti wayuthahhirakum tathiiraan

Na kaeni majumbani kwenu, wala msijishauwe kwa majishauwo ya kijahilia ya kizamani. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu, enyi Watu wa Nyumba ya Mtume, na kukusafisheni baarabara. [33]

— Ali Muhsin Al-Barwani

Shiriki via WhatsappShiriki via FacebookShiriki via Twitter