QS. Al-Fath [48:2]

Ushindi

لِّيَغْفِرَلَكَاللّٰهُمَاتَقَدَّمَمِنْذَنْۢبِكَوَمَاتَاَخَّرَوَيُتِمَّنِعْمَتَهٗعَلَيْكَوَيَهْدِيَكَصِرَاطًامُّسْتَقِيْمًا٢

liyaghfira laka allaahu maa taqaddama min dzanbika wamaa ta‑akhkhara wayutimma ni'matahu 'alayka wayahdiyaka shiraathan mustaqiimaan

Ili Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake, na akuongoe katika Njia Iliyo Nyooka, [2]

— Ali Muhsin Al-Barwani

Shiriki via WhatsappShiriki via FacebookShiriki via Twitter